Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA.APR. 23,2014 SAA 10:56 JIONI
David Moyes amewashukuru mashabiki wa Manchester United kufuatia kutimuliwa kwake siku ya Jumanne na
anasema yeye "anajivunia" kuwa wa klabu katika tamko lililotolewa na Chama cha mameneja wa Ligi.
Moyes alifukuzwa kazi kufuatia kufungwa 2-0 na Everton ambayo ilithibitisha klabu hiyo atakosa Ligi ya Mabingwa msimu ujao.
Kupitia taarifa ya Chama cha mameneja wa Ligi, Mscot huyo alisema: "aliteuliwa kama meneja wa Manchester United,na ni moja ya vilabu vikubwa vya soka duniani, alikuwa bado na kitu ambacho siku zote anajivunia".
0 Comments