Ticker

6/recent/ticker-posts

MSHAMBULIAJI WA WEST HAM AFARIKI DUNIA ,BLATTER ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI

Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA.APR. 19,2014 SAA 07:00 USIKU
Tragedy: Tombides made one appearance for West Ham in the Capital One Cup in 2012vTragedy: Tombides made one appearance for West Ham in the Capital One Cup in 2012
Mshambuliaji kinda wa West Ham Dylan Tombides amefariki dunia baada ya miaka mitatu ya kupambana na kansa ya
korodani.

Mshambuliaji huyo wa Australia mwenye umri wa miaka 20 , ambaye alicheza mechi yake ya kwanza na kikosi cha kwanza miaka miwili iliyopita, aliaga dunia siku ya Ijumaa akiwa na familia yake katika kitanda chake. 
Close-knit family: Tombides (second right) had the support of dad Jim, brother Taylor and mum Tracylee
Aliungana karibu na familia: Tombides (wapili kulia) alikuwa akisaidiwa na baba yake Jim, ndugu yake Taylor na mama yakeTracylee

International prospect: Tombides plays against Japan in the Asian Under 22 Championship
Matarajio yake ni kuwa International: Tombides akicheza mechi dhidi ya Japan, michuano ya Chini ya miaka 22,Asia

Tribute: Tombides sends s a birthday message to his mum after scoring in the Under 17 World Cup in 2011
Huzuni: Tombides inapeleka ujumbe wa kuzaliwa  kwa mama yake baada ya kufunga bao katika michuano ya Chini ya miaka 17 katika Kombe la Dunia mwaka 2011


Fighting back: Tombides shows off a surgical scar in an interview with Neil Ashton in May 2012
Kurudi na Kupambana: Tombides akionyesha kovu la upasuaji katika mahojiano na Neil Ashton mwezi Mei 2012

Tombides kwa mara ya kwanza alikutwa na kansa ya wakati akiiwakilisha Australia kipindi cha mwaka 2011 akiwa na kikosi cha chini ya miaka 17 katika mashindano ya Kombe la Dunia nchini Mexico.

Baada ya kukutwa na ugongwa huo alipigana kurudi katika kikosi cha kwanza cha  timu yake ya kwanza mbali na kuwa benchi 'katika mechi ya kombe la Ligi dhidi ya Wigan mwaka 2012.



Kifo chake Kitakuwa pengo kwa  West Ham dakika kabla ya kuwa nyumbani katika mechi dhidi ya Crystal Palace siku ya jumamosi.

Rais wa FIFA Sepp Blatter  alitoa salamu za  rambirambi kwa familia ya Tombides , kwa kutweet:" mawazo yangu & sala niko pamoja na familia ya Dylan Tombides, @ whufc_official & @ leo FFA. Kapumzike kwa amani Dylan".


Post a Comment

0 Comments