Ticker

6/recent/ticker-posts

AFRIKA: IDEYE ASEMA WALIPOTEZA PASIPOKUWA NA EMENIKE

Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA.APR. 03,2014 SAA 01:32 USIKU

Mshambuliaji wa kimataifa Nigeria, Brown Ideye amebaini kwamba anajitahidi kufanya juhudi wakati asipokuwa sambamba
mshambiliaji mwenzake katika timu ya taifa, Emmanuel Emenike.

Ideye alikuwa dhaifu katika kombe la Fifa la shirikisho 2013 nchini Brazil ambapo alipewa jukumu la kuongoza  kikosi cha Super Eagles.

Aliongoza kikosi vibaya cha Nigeria ambacho  kilishindwa kuendelea katika hatua ya awali ya makundi ikiwa pamoja naTahiti, Uruguay na Hispania.

Mshambuliaji huyo wa Dynamo Kyiv sasa amebaini kuwa tatizo lake anavyodai yeye mwenyewe nchini Brazil ilikuwa ni  kukosekana kwa Emenike.

"Labda kama Emenike angecheza katika Kombe la Shirikisho 2013 , si penda kukabiliwa na pressure kubwa kabisa kama vile. Tangu Emenike kutokuwa huko, mtu mwingine haoneaonekani kuwa karibu na mimi, "Ideye aliiambia supersport.com.

Post a Comment

0 Comments