Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA.APR. 03,2014 SAA 03:02 ASUBUHI
Meneja wa Chelsea Jose Mourinho amewalaumu vikali walinzi wa timu yake kwa kusema kuwa wanafungwa mabao
ya kijinga ambayo timu kama Chelsea haifai kufungwa,kufuatia kufungwa 3-1 na Paris Saint-Germain,katika mchezo wa ligi ya mabingwa.
ya kijinga ambayo timu kama Chelsea haifai kufungwa,kufuatia kufungwa 3-1 na Paris Saint-Germain,katika mchezo wa ligi ya mabingwa.
Bao la mapema la Ezequiel Lavezzi , na la David Luiz la kujifunga mwenyewe na lingine la Javier Pastore yalitosha kuiikamata Chelsea katika uwanja wa Parc des Princes, kabla ya Eden Hazard kufunga kwa penalti bao la kufutia machozi katika dakika ya 27.
Bosi huyo wa raia wa Ureno ilikuwa hanafuraha kwa wachezaji wake katika mechi, na kuamini kwamba ukosefu wa utulivu uliwagharimu katika mchezo huo.
Alipoulizwa kuelezea 'kukosa' magoli kwao, alikubali, na Mourinho alijibu: " nasema ni ujinga,unaweza kusema ni ukosefu wa usahihi, nasema ni ujinga"..
"Baada ya goli la kwanza, sisi tuliwasaidia washambuliaji wao na hakuna mtu aliyekwenda kwa ajili ya kutafuta mpira katika nafasi muhimu. Katika kipindi cha pili, ni moja ya wachezaji wangu alijufunga na huu ni udhaifu" .
"Lakini timu walikuwa na nafasi nzuri za kujilinda lakini hawakuwa sahihi. Na hatimaye,Robo ya mwisho tukakosea zaidi. ni Ujinga."
Mourinho hakukubali moja kwa moja lakini alikiri kwamba timu yake inakabiliwa na kazi ngumu kama wanataka kuendeleo katika Ligi ya Mabingwa hatua ya nusu fainali.
"Ni kazi ngumu, Siyo vigumu, lakini Hakuna lisilowezekana lakini ni vigumu Wao ni aina ya timu -... Na wachezaji wao -. ambao wako nje ya kitu chochote, wanaweza kufunga mabao Hivyo itakuwa si kazi rahisi," alisema .
"Hatuna timu yenye vipaji kamili vya kushinda mabao mengi, hasa katika ngazi hii - lakini huwezi kujua." alisema Jose Mourinho
0 Comments