Ticker

6/recent/ticker-posts

AUDIO:SIKILIZA MAHOJIANO MAALUMU NA FARID MUSSA

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.OCT.6,2016 SAA 02:09 USIKU
Uongozi wa klabu ya Azam Fc hii kupitia kwa Mtendaji mkuu wa klabu hiyo Saad kawemba wamezungumzia suala la mchezaji  Farid
Mussa kuwepo nchini.

Kawemba amezungumzi swala hilo la Farid ambaye kwa sasa yupo nchini akisubiri kibali cha kufanya kazi nchini Spain kwenda kucheza katika klabu ya Tinelife kwa Mkopo,amesema  kama kuna mtu yoyote ambaye  ana dhani mchezaji huyo atasalia nchini ,Afute mawazo hayo

 Lakini pia Jamii na michezo imepata wasaa wa kuzungumza na mzachezaji huyo Faridi Mussa ambaye kwa sasa yupo nchini akisubiri kibali cha kufanya kazi nchini Uhispania na kujiunga na klabu ya Tenalife.

SIKILIZA HAPA


KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo)

Post a Comment

0 Comments