Barcelona wamemsaini Kiungo wa Uturuki Arda Turan kutoka Atletico Madrid kwa ada ya awali ya £ 24m.
Turan hawataweza kucheza kwa klabu hiyo hadi Januari 2016,kutokana Barcelona inatumikia adhabu ya FIFA ya kufungiwa kusajili.
Arda Turan alifunga mabao 22 na pasi za kusaidia kufunga 32 katika misimu minne na Atletico baada ya kujiunga kutoka Galatasaray mwaka 2011,na alicheza mara 81 kwa timu yake ya taifa Uturuki.
KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo)

0 Comments