Ticker

6/recent/ticker-posts

MANUEL PELLEGRINI AICHEZEA AKILI LIVERPOOL,ANASEMA MAN CITY WANAWEZA KUSHINDA TAJI,LAKINI NINI KINAENDELEA JUU YA SAMIR NASRI ?)

Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA.APR. 26,2014 SAA 08:35 USIKU
Manuel Pellegrini alifanya moja ya jaribio la mwisho kwa kuiweka njia panda kwa pressure timu
ya Liverpool kwa kudai kuwa Liverpool wamepoteza uongozi wa ligi kuu.

Meneja huyo wa Manchester City pia alisisitiza wachezaji wake - ikiwa ni pamoja na Samir Nasri, ambaye alipatiwa tiba kidogo ya kawaida katika uwanja wa mazoezi wa Carrington -kuwa wanaamini bado wanaweza kubadili matokeo na kuitoa Liverpool katika uongozi wa ligi kuu.
What's going on here? Samir Nasri receives treatment at Carrington as Manuel Pellegrini looks on
Nini kinaendelea hapa? Samir Nasri anapata matibabu katika uwanja wa Carrington huku Manuel Pellegrini akimuangalia
Piling on the pressure: Pellegrini says City are ready to pounce if leaders Liverpool slip up
Pressure:Pellegrini anasema City wako tayari kunyakuwa uongozi kutoka kwa Liverpool
City imeonekana kukosa nafasi baada ya kupoteza katika uwanja wa Anfield na kufuatia kuwa na matokeo ya mshtuko kwa kutoka sare ya nyumbani dhidi ya Sunderland, lakini Pellegrini anasisitiza bado yuko katika mawindo.
Super saver: Joe Hart flies through the air during training to make a stop
Joe Hart akipiga tizi
Leaders: Pellegrini smiles as his captain Vincent Kompany trains ahead of the clash with Crystal Palace
Viongozi: Pellegrini akitabasamu na nahodha wake Vincent Kompany katika mazoezi kabla ya kukutana  na Crystal Palace
Akijiandaa kwa ajili ya safari ya kupambana na Crystal Palace, Pellegrini alisema: "Kama Liverpool wakishinda michezo yao mitatu iliyobaki, wao ni mabingwa, hivyo watakuwa na faida.  sisi tulipoteza katika uwanja wa Anfield, imetuweka katika nafasi kwa mara ya kwanza ya wasiwasi".

"Lakini wachezaji wetu bado wana imani kwamba wanaweza kushinda Ligi. Wote wana amini. Kila mtu anayefanya kazi katika mchezo anajua kwamba katika mpira wa miguu, kitu chochote kinaweza kutokea, hasa katika michezo mitatu iliyobaki, ambapo pressure ipo".alisema anuel Pellegrini.
Strapped up: Kompany trained with the team for 10 minutes and on his own for a further 10 before going off with his knee protected


Post a Comment

0 Comments