Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA March. 26,2014 SAA 01:10 USIKU
kocha mkuu wa Super
Eagles ya Nigeria , Stephen Keshi amebaini kwamba msambuliaji wa Stoke City, Peter Odemwingie ameomba
radhi kufuatia kuibuka kwa taarifa kuwa alikuwa ametengwa katika kikosi cha Nigeria kwa ajili ya kombe la mataifa ya Afrika 2013.
Mchezaji huyo mwenye miaka 32 alitumia mitandao wa kijamii wa Twitter, kumkosoa Keshi baada ya kuweka wazi hawezi kwenda
Afrika Kusini kwa ajili ya A FCON 2013 na kikosi cha Super Eagles.
Keshi alisema alikuwa akizungumza na mshambuliaji huyo kufuatia tukio hilo na kusisitiza kwamba "kamwe hakukua na tatizo lolote kati yetu".
0 Comments