Ticker

6/recent/ticker-posts

"Nahitaji kujihakikishia namba Yanga" Kabwili kipa kijana wa Yanga sc

  Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.FEB.06.2018 SAA 10:24 JIONI

Kipa chipukizi wa klabu ya YANGA Ramadhani Awam Kabwili amezungumza kwa mara ya kwanza baada ya kucheza
dakika 90 kwa klabu yake hiyo katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara.

Mchezo huo Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Njombe Mji FC ulipigwa  jumanne ya 6 Feb, katika Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam.

BOFYA CHINI KUSIKILIZA

...

KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo),na instagram- kihwiliupdates

Post a Comment

0 Comments