Ticker

6/recent/ticker-posts

PICHA:YANGA 1- 1 SIMBA,BAO LA KICHUYA LAWAFUTA MACHOZI WANAMSIMBAZI WALIOVUNJA VITI UWANJANI

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.OCT.1,2016 SAA 01:59 USIKU

MCHEZO wa Ligi kuu Tanzania Bara wa watani wa Jadi Simba na Yanga umemalizika kwa sare ya kufungana bao 1-1 katika mchezo
huo uliopigwa katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Katika mchezo huo Yanga walitangulia kupata bao kupitia kwa Mrundi, Amissi Joselyn Tambwe dakika ya 26, akimalizia pasi ndefu ya beki Mbuyu Twite .

Na baoa la Simba la kusawazisha lilifungwa na mzalendo, Shizza Ramadhani Kichuya dakika ya 87 baada ya kona aliyochonga kuingia moja kwa moja nyavuni.



Nahodha wa Simba Jonas Mkude kalitolewa kwa kadi nyekundu kipindi cha kwanza baada ya Yanga kupata Bao.
PICHA

KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo)

Post a Comment

0 Comments