Ticker

6/recent/ticker-posts

AFRICAN LYON YAITANDIKA MBAO FC 3 - 1

 Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.SEPT.12,2016 SAA 01:54 USIKU

African Lyon ya Dar es Salaam  hii leo Septemba 12, 2016 imeitandika Mbao FC mabao 3 kwa 1 kwenye Mchezo huo
Na. 28 wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara uliofanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.

Mbao FC ndiyo walikuwa wakwanza kupata bao dakika 28 kupitia kwa Frank Msiba
 
Lakini sekunde chache kabla ya kwenda mapumziko Hood Mayanja akaisawazishia  African Lyon.

Kipindi cha pili dakika 58 African Lyon wakapata penalti iliyopigwa na mfungaji wa bao lao kwanza Hood Mayanja.na bap la tatu la African Lyon likafungwa na Tito Okello dakika 68.
 

KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo)

Post a Comment

0 Comments