Ticker

6/recent/ticker-posts

ALICHOKISEMA JACK WILSHARE JUU YA TAARIFA ZA KUJIUNGA NA MAN CITY

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.Jun 13,2015 SAA 11:18 JIONI
Jack Wilshere: Sees no benefit in moving to Man City
Jack Wilshere anasema kamwe hatajiunga na Manchester City au klabu nyingine yoyote kwa ajili ya kukamilisha  tu idadi ya wachezaji.



Kiungo wa Arsenal amekuwa akihusishwa na kujiunga City,Lakini Arsene Wenger mara kwa mara amekuwa akikanusha juu ya mustakabali wa  Wilshere kuondoka Emirates, na kiungo huyo aliunga mkono maoni ya meneja wake alipoulizwa kuhusu mustakabali wake wakati wa kuelekea katika mchezo wa England na Slovenia.
Wislhere's anti-Tottenham chants landed him in hot water with the FA
"Mimi dhahiri sita kwenda mahali fulani kwa sababu tu kuna wachezaji wa nyumbani,nahitaji kuwepo sehemu wanapoitaji. Nataka kuwa na Arsenal," alisema."Nimekulia Arsenal, kama vile Arsenal wanavyonihitaji mimi, mimi nina furaha." alisema Jack Wilshere
KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) 

Post a Comment

0 Comments