Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA.May. 01,2014 SAA 05:10 USIKU
Semina hiyo iliyoandaliwa na FIFA itafanyika kwa siku mbili (Mei 1 na 2 mwaka huu) na washiriki wa semina hiyo ni marais, makatibu wakuu na wakuu wa mawasiliano wa wanachama 12 wa CECAFA ambao ni Burundi, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Kenya, Rwanda, Somali, Sudan, Sudan Kusini, Tanzania na Uganda.
![]() |
Semina ikiendelea |
Awali semina hiyo ilitakiwa ifunguliwe na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Jerome Valcke,lakini kwa sababu za kifamilia ikalazimika amtume muwakilishi wake aweze kumuwakilisha.
![]() |
Jerome Valcke |
Mke Jerome Valcke amejifungua mtoto siku ya jana aliyepewa jina la Valent,hivyo kumfanya kiongozi huyo wa juu kabisa katika mchezo wa soka Duniani kusitisha majukumu yake ya shirikisho na kuweza kukaa karibu na mkewe.
0 Comments