Ticker

6/recent/ticker-posts

PICHA: WACHEZAJI WA LIVERPOOL WACHAPANA MAKONDE KATIKA MAZOEZI KABLA YA MECHI MUHIMU

Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA.APR. 26,2014 SAA 08:19 USIKU
Wachezaji wawili Luis Suarez na Martin Skrtel walionekana
kupigana makofi katika uwanja wa mazoezi wa timu ya Liverpool siku ya Ijumaa,ikiashiria kwamba labda kuna matatizo kwa wachezaji hao wanaoelekea katika mchezo muhimu.

klabu ambayo inaongoza katika msimamo wa Ligi Kuu, itachukua hatua kubwa kama itaishindi Chelsea siku ya Jumapili.

Lakini kuna hatari kubwa kwa wachezaja hao walionekana wakipambana kwani ni watu  muhimu katika mchezo huo.
Shove: Luis Suarez pushes team-mate Martin Skrtel in a Liverpool training session on Friday
Close up: The Liverpool players were playing a game of head and foot volleyball when the incident took place
Lead up: Players are seen laughing at Skrtel doing imitations, but Suarez is seen scowling at the Slovakian
Row: The striker clenches his fist towards the defender at Melwood
Tempers fray: An eye witness said that Skrtel cheated in the game and Suarez wasn't impressed

Wakati mchezo wa mpira wa wavu ukiwa unaendelea, wachezaji hao walikuwa wanacheka huku Skrtel akileta mzaha kidogo.

Mtu  ambaye inaonekana kuleta makosa ni Suarez, ambaye alionekana akikunja uso kwa beki huyo wa kati wa Slovakiska.

Suarez kisha inaonekana kukunja ngumi yake na kuelekeza mashambulizi kwa Skrtel, akiwa pembeni mwa wenzake Philippe Coutinho na Lucas.
Competitive: The game continued and an eye-witness said that Suarez's team later won the point
Hugs: Players laugh and joke about the incident, but Suarez and Skrtel are still kept apart
Blow: Brendan Rodgers is spotted in the background while Suarez still seems to be arguing his case

Shahidi alisema Skrtel alionekana kufurahishwa na wachezaji wenzake, lakini si Suarez .

Alitumia mkono wake mmoja kupiga mpira katika mchezo, na kusogeza kwa Suarez na Philippe Coutino ambao walipinga. huku wachezaji wa zamani wakikaa karibu na wavu ilikutoa hamasa kwa Skrtel.

Meneja Brendan Rodgers alihimiza utulivu katika mvutano huo uliotokea kwa Suarez na Mambo yalionekana kuwa tulivu mara baada ya tukio hilo.
Heated: Philippe Coutinho and other South Americans and Spaniards have Suarez's back
No anxiety: Brendan Rodgers had claimed that his players were loving his life at the top
Tukio hilo linakwenda kinyume na maneno aliyoyasema Rodgers wiki iliyopita, kwa kusisitiza kuwa hakuna wasiwasi katika mbio za kuwa juu kuongoza ligi katika klabu hiyo,na kusema wachezaji wake wote wanafuraha katika mazoezi.





Post a Comment

0 Comments