Ticker

6/recent/ticker-posts

MFAHAMU KINDA WA MANCHESTER UNITED ALIYEPIGA MABAO MAWILI KATIKA MECHI DHIDI YA HULL CITY, msome na umjue zaidi hapa...

Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA.May. 06,2014 SAA 05:40 USIKU
James Wilson ni kinda wa Manchester United kwa mara ya kwanza alionekana katika benchi la wachezaji wa akiba la mashetani hao wekundu ambao wanakabiliwa na uhaba wa
mshambuliaji,alionekana katika mechi ambayo waliibuka na ushindi mnono wa mabao 4 kwa 0 dhidi ya timu ya Newcastle mnamo APR. 05.


James alifunga mabao mawili dakika ya 31 na 61 katika mchezo wa wao dhidi ya Hull City na kuisadia United kuibuka na ushindi wa mabao 3 kwa 1 usiku wa jumanne ya tarehe  6 May 2014.


kipindi ambacho Wachezaji wawili wa Man United Wayne Rooney na Robin van Persie walikuwa hawapo kwa sababu ya Majeraha, Wilson aliletwa kama tahadhari kwao, alikuwa ni David Moyes ambaye alikuwa akimuangalia na kumlinda Danny Welbeck, na United ilikuwa  inakabiliwa na mechi muhimu dhidi ya Bayern Munich, na kijana huyo alivaa jezi No 47 wakati akiwa anajifua.

Wilson ana umri wa miaka 19,amekua akijisukuma mwenyewe siku hadi siku katika kikosi cha chini ya miaka 21 tangu mwezi Desemba,na alifunga  mabao matatu (hat-trick) katika mechi dhidi ya Wolves (mbwa wa mwituni), mechi yake ya mwisho na kikosi hiko mwanzoni mwa mwezi Machi.
Golden boy: Wilson pushed himself into the Under-21 side this season scoring four times in the league
mvulana Mdogo: Wilson alifanya kazi kubwa katika kikosi cha chini ya miaka 21  msimu huu alifunga mara nne katika ligi
Perfect view: Wilson watches on from the United bench after earning his first call-up to the first team
Nini maoni yako? Wilson alionekana katika benchi la United APR. 5 baada kuitwa kwa mara ya kwanza  katika timu ya wakubwa
On course for greatness: Wilson took over the captains armband for the academy side for this season
Wilson alikabidhiwa unahodha wa academy msimu huu
Wilson, ambaye aliifungia academy yake kwa mara ya kwanza dhidi ya Everton alipokuwa na miaka 15, alifunga mara tano dhidi ya Newcastle Chini ya kikosi cha miaka 18 katika ushindi wa 7-1  msimu uliopita.

Pia mara kwa mara amekuwa katika kikosi cha  England-U19, alifunga bao lake la kwanza kwa timu ya taifa katika ushindi 6-1 dhidi ya Estland U-19s.

Alizaliwa Staffordshire, mshambuliaji huyu anajulikana kwa kasi yake ya mashambulizi na ameongeza kasi ambapo amekuwa akichunguzwa na wengi wa wapinzani wake akichukuliwa kama anatumia dawa,na alikabidhiwa unahodha wa academy mwaka huu.
Eyes on the ball: Wilson is known for his great and control on the ball and composure in front of goalWarming up: Wilson will be hoping to make his first start for United at St James' Park on Saturday afternoon
Wilson akifanya mazoezi kabla ya mechi ya United dhidi ya Newcastle APR. 5 katika uwanja wa St James 'Park 

Head scratcher: Wilson will be hoping he can make an impact if he gets handed his first appearance
Wilson alikuwa na matumaini kuwa anaweza kuwa moto wa kuotea mbali kama atapata pasi katika mechi yake ya kwanza
Star on the rise: Wilson (M) trains with Nani (L) and Ashley Young (R) ahead of United's match against Newcastle
Wilson (katikati) akijifua na Nani (kushoto) na Ashley Young (kulia) kabla ya mechi ya  United dhidi ya Newcastle APR 5


Wilsoni ni mshambuliaji  mwenye uwezo wa kufanya mambo mengi kwa ufanisi.anaweza kucheza upande wa kushoto lakini pia hucheza chini katikati. Pamoja na mateso ya kuvunjika kwa ankle  mwaka jana, ambapo ilimfanya kuwa nje kwa sehemu kubwa ya msimu, mshambuliaji huyo bado amemaliza na mabao 14 kutoka kuanza kwa mechi 13 tu.

Mchezaji huyo ameonyesha utulivu mkubwa wakati akicheza kama mshambuliji  katika kikosi cha Chini ya miaka18 kama vile jicho lake lina vutiwa kwa magoli ambayo imemfanya sifa yake kuwa juu kutokana na uzuri wa vyanzo vya ndani vya kuunganisha pasi.

Kulingana na aliyekuwa mchezaji wa Manchester United Clayton Blackmore , anaamini mshambuliaji huyo anachukuliwa kufuata nyayo za Danny Welbeck.




Post a Comment

0 Comments