Ticker

6/recent/ticker-posts

HII NDIYO REKODI KUBWA ALIYOIWEKA MESSI BAADA YA KUFUNGA BAO LAKE LA KWANZA TU,KATIKA MCHEZO WA EL CLASICO AMBAPO ALIPIGA HAT-TRICK DHIDI YA REAL MADRID (VIDEO/PICHA)

Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA March. 24,2014 SAA 10:39 ALFAJIRI
Mshanbuliaji wa Barcelona  Lionel Messi amevunja Rekodi ya mkongwe wa Real Madrid, Alfredo di Stefano ya muda mrefu
katika Rekodi ya magoli ya Clasico baada ya kufunga bao lake kwanza tu,katika mchezo wa usiku wa kuamkia leo, ambapo mchezaji huyo alipiga hat-trick katika ushindi mkubwa wa mabao 4-3 katika uwanja wa  Santiago Bernabeu.

Mtandao wa GOAL.COM ulimpongeza namna hii
Muargentina huyo mwenye umri wa miaka 26, alivunja Rekodi kwa kufunga bao la19,kisha tena la 20 na kuongeza lingine la 21 dhidi ya  Real Madrid siku ya Jumapili katika mpambano huo wa La Liga, hivyo ni wazi amesonga mbele katika viwango vya muda wote.

Mashuhuli wa Los Blancos(Real Madrid) Di Stefano ana mabao 18 katika michezo 30 ya Clasico aliyocheza kati ya miaka 1953 na 1964, lakini Messi alimzidi kabla ya hata ya mapumziko katika mchezo wa  Clasico jana jumapili , akiwa amecheza michezo  27 tu ya wapinzani hao wakubwa wa La Liga.

Messi alifungua akaunti yake ya mabao katika  Clasico kwa kupiga  hat-trick, katika sare ya 3-3 katika uwanja wa Camp Nou Machi 10, 2007.  

Messi hajawahi kurudi nyuma ,alifunga mara mbili  katika ushindi wa 6-2 kwa kuibomoa Madrid mbele ya mashabiki wao wenyewe katika uwanja wa Bernabeu Mei 2009, vilevile mshindi huyo mara nne wa Ballon d'Or pia alifunga mabao yote mawili katika mchezo uliopigwa eneo la Blaugrana ambapo waliibuka na ushindi wa mabao  2 -0  na kusonga mbele katika hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa  2011.
Club legend: Lionel Messi lifts his shirt to kiss the Barcelona badge after scoring the decisive El Clasico penalty
Matchwinner: Messi points to the Barcelona support as Gerard Pique (centre) and Alexis Sanchez catch up
Messi aliungana na Di Stefano  katika dakika ya  17 alipoifungia Barcelona bao moja katika mchezo ambao walifungwa kwa  mabao 2-1katika La Liga, mchezo uliopingwa katika mji mkuu wa Hispania Machi 2 mwaka jana.  

Hata hivyo, Jumapili usiku hat-trick yake katika uwanja wa Madrid,Estadio Santiago Bernabéu ,  ina maana kwamba ni wazi Messi sasa imechukua milki katika Rekodi ya Clasico .  

Mchezaji                
Lionel Messi

Alfredo di Stefano

Raul Gonzalez

Cesar Rodriguez

Francisco Gento

Ferenc Puskas
klabuBarcelona

Real Madrid

Real Madrid

Barcelona

Real Madrid

Real Madrid
Mabao
21

18

15

14

14

14

Messi, ambaye alitoa pasi katika bao la kwanza lililofungwa Andres Iniesta usiku wa jumapili, pia amejisogeza juu ya Hugo Sanchez kwa nafasi mbili kwenye orodha ya La Liga katika Rekodi ya wafungaji bora wa  muda wote kwa mabao 236. na sasa amebakisha mabao 16 tu kumfikia Telmo Zarra anayekamata nafasi ya kwanza.
Flying high: Sergio Ramos celebrates Madrid's third with Ronaldo (left) while the Madrid star jumps for joy (right)Flying high: Sergio Ramos celebrates Madrid's third with Ronaldo (left) while the Madrid star jumps for joy (right)Top of the pile: Pepe (centre) celebrates with the rest of his Madrid team-mates following Real's third goal
Katika mchezo wa usiku wa kuamkia leo,bao la kwanza la messi lilipatikana katika dakika ya 42,na mabao mawili kwa mkwaju wa penalti dakika ya 65 na 84, huku bao la kwanza la Barcelona akifunga Andrés Iniesta Luján dakika ya 7 tu ya mchezo.
Back in it: Messi acknowledges the Barcelona support following his strike as Ronaldo and Benzema look on
Man of the moment: Karim Benzema celebrates after equalising for Madrid following Barcelona's opener
Head-to-head: France international Benzema outleaps Mascherano to put Real Madrid into the lead
Coming together: Pepe appears to grab Cesc Fabregas by the throat following Barcelona's second
Altercation: Neymar looks on as Pepe lets his anger show by shouting into the face of Fabregas
Ubabe ubabe tu:Pepe akimkaba koo  Fabregas
Fallen: Fabregas and Pepe both ended up on the deck after their coming together and were booked
Wakati wakuamulia:Buesquets alimanyaga Pepe kichwani,akizuga kuwa hajamuona.
Kwa upande wa Real Madrid ambao walikuwa nyumbani, mabao yao mawili yalimefungwa na Karim Benzema katika dakika ya 20 na 24,na bao la tatu likiwekwa nyavuni na Cristiano Ronaldo kwa mkwaju wa penalti dakika ya 55.
Seeing red: Real Madrid centre back Sergio Ramos was sent off after hauling down Neymar in the box

Lakini Real Madrid walipata pigo baada ya beki wake Sergio Ramos kutolewa nje kwa kadi nyekundu dakika ya 63, baada ya kumuangusha Neymar kwenye eneo la hatari.
A beauty from Barca
Up for it: Gareth Bale (centre) leaps high into the air as Real Madrid and Barcelona enter the field on Sunday
Grounded: Cristiano Ronaldo claims to have been fouled and appeals for a free-kick early on
Safe hands: Real Madrid goalkeeper Diego Lopez gathers the ball and jumps over Neymar
On the touchline: Real Madrid manager Carlo Ancelotti (centre) and Barcelona boss Gerardo Martino watch on
Sea of white: Los Blancos supporters wave plastic flags at the Bernabeu on Sunday evening ahead of kick off
Made in heaven: Two Real Madrid fans show their appreciation for star man Cristiano Ronaldo
V
MSIMAMO KWA SASA
 

Spanish La Liga |

PosTeamPWDLGFGAGDPts
1Atlético de Madrid29224366214570
2Real Madrid29224380305070
3Barcelona29223485256069
4Athletic Club29167652322055
5Sevilla2913885344947
6Real Sociedad28137849391046
7Villarreal291361049361345
8Valencia CF29116124140139
9Levante29910102635-937
10Espanyol29107123234-237
11Granada CF29104152839-1134
12Celta de Vigo2996143341-833
13Málaga2988132836-832
14Rayo Vallecano2993173363-3030
15Elche2979132441-1730
16Osasuna2985162550-2529
17Getafe2977152646-2028
18Real Valladolid29512123149-1827
19Almería2875162752-2526
20Real Betis2947182358-3519
  

ANGALIA VIDEO YA MABAO



Resumen Highlights Real Madrid vs FC Barcelona... by elencrrist05

Real Madrid: Diego Lopez, 7, Pepe, 6, Ramos, 6, Cristiano Ronaldo, 7, Benzema, 8, (Varane, 64), Bale, 7, Marcelo, 7, Xabi Alonso, 7, Carvajal, 6, Modric, 7, (Morata, 90), Di Maria, 9, (Isco, 85).
Subs not used: Casillas, Coentrao, Nacho, Illarramendi.
Scorers: Benzema, 20, 24, Ronaldo, 55 (pen).
Booked: Pepe, Di Maria, Alonso, Modric, Ronaldo.
Sent off: Ramos.
Barcelona: Valdés, 6, Alves, 6, Piqué, 8, Mascherano, 5, Jordi Alba, 6, Busquets, 7, Xavi, 7, Iniesta, 7, Fabregas, 8, (Sanchez, 78), Messi, 10, Neymar, 7, (Pedro, 69).
Subs not used: Pinto, Bartra, Adriano Song, Sergi.
Booked: Fabregas, Busquets.
Scorers: Iniesta, 7, Messi, 42, 65 (pen), 84 (pen).
Attendance: 85,454.
Referee: Alberto Undiano Mallenco.
Man-of-the-Match: Lionel Messi

 

Post a Comment

0 Comments