Ticker

6/recent/ticker-posts

BAYERN MUNICH YAVUNJA REKODI YAO WENYEWE,WANYAKUWA TAJI LA BUNDESLIGA MAPEMA TENA,DORTMUND NA SCHALKE WAMWAGIWA POLISI WAKUTOSHA KATIKA MCHEZO WAO(PICHA)

Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA March. 26,2014 SAA 12:16 ASUBUHI
Bayern Munich win the Bundesliga title
Bayern Munich wamenyakua kombe la Bundesliga kwa kuvunja rekodi ya  kutofungwa  katika  michezo  27  msimu
huu,  bada ya kuifunga timu ya Hertha Berlin mabao 3-1 katika mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Olimpiki, na kuweza kuvunja rekodi ya kuwa na pointi za juu katika ligi hiyo ya Ujerumani .
All for show: Bayern Munich's players celebrate with a mock version of the Bundesliga title
Jubilant: Thomas Muller (24) celebrates with his team-mates in front of the Bayern fans

Achievement: Bayern Munich celebrate winning the Bundesliga title, and are still unbeaten this term
First of many? Guardiola is congratulated on his fourth title win as a manager, and his first with Bayern
Celebrate: Manchester United target Kroos slotted home at the far post for 1-0
Ushindi  huo  unaiweka  Bayern  katika  uongozi  kwa points  25  dhidi  ya Borussia  Dortmund  inayoshikilia nafasi  ya  pili.
Pamoja na michezo saba iliyobaki, Bayern inaweza kuishia na  pointi zao 98 kama wakishinda  kila mchezo wao uliobaaki, na kuweka usawa wa  pointi 91 kutoka msimu uliopita. 

Mabingwa hao wa Ujerumani pia wamevunja rekodi yao wenyewe kutoka msimu uliopita, ambapo walishinda kombe la ligi kuu kabla ya kumaliza michezo yao sita.

Mabao ya Toni Kroos, Mario Gotze na Franck Ribery yaliweza kuipatia timu hiyo ushindi huo wa ligi.



Bayern wamenyakuwa taji lao la 23 la Bundesliga , na la 24 nchini Ujerumani , na kwa upande wa Guardiola ni la nne katika ligi kuu, bada ya kushinda mataji ya La Liga mara tatu akiwa na Barcelona.

Straight up: Pep Guardiola secured the title in his first season in charge at the German giants
On their way: Toni Kroos puts Dortmund ahead in the sixth minute in Berlin
Headed home: Gotze adds a second just minutes later as Bayern strolled to the title
Formality: Bayern Munich supporters pose with mock-up Bundesliga titles ahead of the match in Berlin
Utaratibu: mashabiki wa Bayern Munich wakiwa na makombe yao ya Bundesliga kabla ya mechi huko mjini Berlin


Disrespect: Schalke's supporters react during the Borussia Dortmund anthem
Kukosa heshimu: mashabiki wa Schalke wakiimba na kuizalilisha Borussia Dortmund 
Kwa upande wa timu ya  Borussia Dortmund wametoka sare ya bila kufungana na watani wao wa jadi Schalke 04,katika mtanange uliokuwa na polisi takribani 3,000 wanaliokuwa zamuni siku ya jana katika mojawapo ya operesheni kubwa zaidi ya polisi katika mchuano wa soka nchini Ujerumani,huku Mashabiki wa pande zote mbili walipowasili katika uwanja wa Westfalenstadion ,walimbiwa wasimame  nje kwanza kwanza kabla ya mchezo kuanza.

Hatred: Schalke (left) and Dortmund fans face off outside the Westfalenstadion before kick-off
Hairy good: One Dortmund fan takes his love for the club to the next level
nywele Nzuri : mmoja wa mashabiki wa kutupwa wa Dortmund akionesha upendo wake kwa klabu
Schalke fans linger around the ground ahead of one of the most fierce rivalries in Germany
Mashabiki wa Schalke wanasifika kwa kuwa na mabishano makali zaidi nchini Germany

Post a Comment

0 Comments