Ticker

6/recent/ticker-posts

RATIBA YA LIGI KUU TANZANIA BARA KESHO FEB.26

Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA FEB. 25,2014 SAA 03:00 USIKU


Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inaendelea kesho (Februari 26 mwaka huu) kwa mechi
moja itakayochezwa Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi jijini Dar es Salaam.

Mechi itazikutanisha timu za Azam inayoshika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi hiyo ikiwa na pointi 37 dhidi ya Ashanti United iliyoko nafasi ya 12 kwa pointi zake 14.

Post a Comment

0 Comments