Ticker

6/recent/ticker-posts

AUDIO:HII NDIO ADHABU YA KWANZA WALIYOPEWA WACHEZAJI WA RUVU SHOOTING WALIOTOROKA KAMBINI



 Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA JANU. 29,2014 SAA 08:11 USIKU
Masau Bwile
Mara baada ya wachezaji wawili wa Ruvu shooting,Elius Maguli na Ally Kani,kurejea kambini,hatimaye kocha watimu hiyo Tomu
Olaba,amesema hatowatumia katika michezo 3 ya ligi kuu,na hiyo itakuwa ni moja tu ya adhabu ikiwa bado swala la wachezaji hao linashughulikiwa.


 BONYEZA PLAY KUMSILIKILA MSEMAJI WA RUVU SHOOTING. MASAU BWILE AKIFAFANUA ZAIDI

Post a Comment

0 Comments