Ticker

6/recent/ticker-posts

VIDEO:MWENYEKITI WA WAATHIRIWA WA GHASIA KENYA APEWA KICHAPO

IMEWEKWA NOVEMBA 5.2013 SAA 8:01 USIKU
 
Wakaazi wa kambi za waathiriwa wa ghasia za baada ya uchaguzi za Shalom huko kenya,walimkabili mwenyekiti wao Peter Kariuki
kwa madai ya kuwa kizuizi cha maendeleo katika eneo hilo. Mwenyekiti huyo alijikuta matatani wakati alipojaribu kuvuruga mkutano ulioitishwa na mwakilishi kaunti wa eneo hilo.
ANGALIA VIDEO

Post a Comment

0 Comments