Jamii na Michezo anaelewa Newcastle wamekataa ofa ya £ 12million kutoka kwa Arsenal kwa ajili ya Yohan Cabaye.
![]() |
| Kakataliwa kuondoka : Arsenal wameshindwa katika jitihada zao kwa ajili ya kumchukua Yohan Cabaye wa Newcastle |
Mchezaji huyo wa Kimataifa
wa Ufaransa na timu hiyo kutoka Lille miaka miwili
iliyopita na pia amekuwa kivutio kwa timu ya Manchester United.
Mchezaji huyo ambaye anavutiwa na kocha Arsene Wenger,
ambaye mpaka sasa amesaini mchezaji mmoja tu katika majira haya ya joto lakini Newcastle wamekataa kumtoa mchezaji huyo na anatarajiwa kuanza katika mchezo wa leo dhidi ya Manchester City saa 4:00 usiku.
ambaye mpaka sasa amesaini mchezaji mmoja tu katika majira haya ya joto lakini Newcastle wamekataa kumtoa mchezaji huyo na anatarajiwa kuanza katika mchezo wa leo dhidi ya Manchester City saa 4:00 usiku.
![]() |
| tumia, tumia, umia: Arsene Wenger anapewa shinikizo na mashabiki wa kuleta wachezaji katika msimu huu wa joto. |


0 Comments