Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) limejiunga rasmi katika vita Dhidi ya malaria kama mdau kwa ushilikiano na Wizara ya Afya,shilikisho la sika Afika (CAF) pamoja na taasisi ya United Agaist Malaria (UAM) ambao ni mtando unopiga vita ugonjwa wa malaria ulimwenguni.
![]() |
| Meneja mafao ya matibabu (NSSF) Dr Ali Mtulia |
hatua zote za kupambana Malaria kwa lengo la kuweka mazingira salama ya kazi kwa wafanyakazi,wanachama na waajiri ili kuleta ufanisi kwenye kutoa huduma na uzalishaji na hatimaye kuboresha mafao ya wanachama na watanzania kwa ujumla.
Aidha mtulia ameongeza kuwa,shirika la NSSF ikiungana na zaidi ya taasisi tisini 90 barani Afrika na wadau wengine nchini,pia itachukua jukumu la kuchapisha ujumbe wa kutokomeza malaria Kwenye machapisho yote ya shirika na kutoa mada katika mikutano na makongamano yote ya shirika,lakina pia itachapisha nembo ya United Against Malaria katika matangazo yote ya shirika.
![]() |
| Naibu msimamizi wa mpango wa wa kudhibiti MalariaDr.Renata Mandike |
![]() |
| Balozi wa mpango wa kupambana na malaria nchini, Leodegar Tenga,pia alikuwepo kutoa nasaa. |
Pia Dr.Mandike amewataka wananchi kutambua kuwa ugonjwa malaria unatibika na tiba muafaka ipo,lakini pia wananchi wametakiwa watumie Net zenye dawa maalumu pamoja na kutumia dawa mseto ya malaria,iwapo watapata ugonjwa huo kwani dawa pamoja na neti hizo,zimedhibtishwa rasmi na serikali kwa wanachi kutumia.
![]() |
| Wa kwanza kushoto juu na chini,ni Manager-SA, bi. anna McCartney |



.jpg)

0 Comments