IMEWEKWA AGOSTI 21,2013 SAA 11:37 JIONI
Mshambuliaji wa Borussia Dortmund Robert Lewandowski imeamua kuweka kando tofauti zake na klabu yake,juu ya uhamisho alioshindikana wa Bayern Munich katika msimu wa hivi karibu,mchezaji huyo wa kimataifa Poland aliyasema hayo hii.
Mshambuliaji wa Borussia Dortmund Robert Lewandowski imeamua kuweka kando tofauti zake na klabu yake,juu ya uhamisho alioshindikana wa Bayern Munich katika msimu wa hivi karibu,mchezaji huyo wa kimataifa Poland aliyasema hayo hii.
![]() |
| Kesi imekwisha sasa |
Lewandowski
ilikuwa ameshakata tamaa na kutaka kuondoka katika klabu hiyo na kijiunga na maasimu wa klabu hiyo Bayern
Munich lakini mpango huo ukashindikana baada Dortmund
kugomea uhamisho huo, ikisema kuwa mchezaji huyo alikuwa na mkataba hadi mwaka 2014.
Munich lakini mpango huo ukashindikana baada Dortmund
kugomea uhamisho huo, ikisema kuwa mchezaji huyo alikuwa na mkataba hadi mwaka 2014.
Vita
kali ya maneno ilitokea baina ya pande hizo mbili, kuongeza wasiwasi
juu ya hatma ya mchezaji huyo ndani ya Dortmund katika mwaka wake wa mwisho wa mkataba
wake.
"Hali ya sasa ni kwamba mimi nitakaa Dortmund kwa mwaka mmoja zaidi," alisema Lewandowski akiliambia gazeti la michezo la Bild.
"Tumeweza kuweka kando tofauti zetu zote na tumeweka kila kitu sawa, Kweli kulikuwa na makosa lakini,tayari tumemaliza kila kitu na ( kesi) mjadala umefungwa tayari." aliongeza Mshambuliaji huyo wa Borussia
Dortmund Robert Lewandowski.

0 Comments