Ticker

6/recent/ticker-posts

MAZUNGUMZO YA REAL MADRID NA SPURS KUHUSU BALE YAKO KATIKA HATUA NZURI

Tottenham na Real Madrid wako  katika hatua nzuri juu ya  mazungumzo kuhusiana na  mpango wa kumchukua winga Gareth Bale kuelekea katika klabu hiyo ya nchini uhispani.


Mazungumzo yako katika hatua nzuri

Uhamisho  huo ambao bado haujakamilika , lakini inaweza kukamilika katika siku zijazo ambapo mpaka sasa Real Madrid wameshaweka kitita cha £80 ambapo itavunja rekord Halisi ya  Cristiano Ronaldo  kwa uwamisho kutoka Manchester United kwenda Real Madrid mwaka 2009.

 Nyota huyo wa kimataifa wa Wales,ameripotiwa kuwa ana nia ya kujiunga na klabu hiyo ya Kihispania.

Bale alijiunga na Totteanhaam kwa kitita cha £10,akitokea  Southampton mwaka 2007 na alifunga mabao 26 kwa upande wa Londan kaskazini msimu uliopita,na alilipotiwa kuwaambia wachezaji wenzake kuwa anataka kujiunga na Real Madrid


Post a Comment

0 Comments