Ticker

6/recent/ticker-posts

BONANZA LA WANAMICHEZO KUFANYIKA JUMAMOSI.



Na.John peter.IMEWEKWA AGOSTI 22,2013 SAA 11:00 JIONI
Kampuni maarufu inayo tengeneza kinyaji kisichokuwa na kilevi cha Vitamalt,imeandaa bonanza kubwa la mazoezi  ambalo litafanyika siku ya jumamosi ya tarehe 25 mwezi huu,katika viwanja vya posta jijini Dar es salaam.
Waandaaji
 Akiongea na Jamii na Michezo meneja wa kinywaji hicho ,Consolata Adam amesema  wameamua kuandaa
bonanza hilo ili kuwakutanisha wanamichezo kwa pamoja,bonanza hilo litaanza saa 12 asubuhi na kuendelea ,lakini pia amebainisha kuwa katika bonanza hilo,litafanyika bia kiingiio yaani ni bure.
 Pia Consolata amewaomba watanzania kufika kwa wingi, na  baada ya mikoa wa Dar es salaam,mikoa mengine litakalofanyika bonanza hilo ni pamoja na Mwanza,Arusha na Mbeya.

Post a Comment

0 Comments