Na.John peter.IMEWEKWA AGOSTI 22,2013 SAA 10:50 JIONI
Chama cha riadha mkoa wa dar es salaam wamejigamba
kuibuka na ushindi katika mashindani ya riadha ya kimataifa ambayo yanatarajiwa
kufanyika mkoani morogoro,kuanzia kesho
Agosti 23 mwaka huu.
 |
| mwenyekiti wa
riadha mkoa wa Dar es salaam,zainabu mbilo akizungumza na John peter. |
Akiongea na Jamii na Michezo mwenyekiti wa
riadha mkoa wa Dar es salaam wakati wa mazoezi ya timu ya riadha ya mkoa wa Dar
es salaam,bi zainabu mbilo,amesema kuwa mwaka huu watahakikisha
wanaibuka na
ubingwa wa Taifa,Ambapo kwa sasa ubingwa huo unashikiliwa na
mkoa wa Arusha, na Dar es salaam inashika nafasi ya tatu.
 |
| mazoezi katika uwanja wa Taifa. |
Pia Zainabu amewaomba wanadar es salaam
kujitokeza kuisaidia timu hiyo kutokana na hariharisi ya kifedha kuwa ngumu kwa
timu yao.
 |
| Timu ya riadha ya mkoa wa dar es salaam kataka mazoezi |
0 Comments