Ticker

6/recent/ticker-posts

ARSENAL IKO TAYARI KUTOA OFA YA € 46 MILLION KWA AJILI YA BENZEMA

.Ripoti katoka Uingereza iliyochapishwa na gazeti la  'Telegraph' zinadai  kwamba Arsenal iko tayari kutoa fedha kwa ajili ya kuwashawishi klabu Kihispania katika mpango wa kumchukua  Benzema.
Ataweza kweli kutua Arsenal na ubakhili wa Wenger?
Arsene Wenger yuko tayari kutoa €46million kwa klabu ya  Real
Madrid kwa ajili ya kumpata mshambuliaji huyo wa Kifaransa.

Post a Comment

0 Comments