Ticker

6/recent/ticker-posts

TIMU YA WANAWAKE TANZANIA BARA YAANZA VYEMA KOMBE LA CECAFA

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.SEPT.12,2016 SAA 02:20 USIKU

Timu ya soka ya Tanzania Bara ya wanawake, Kilimanjaro Queens imeanza vyema michuano ya Kombe la CECAFA baada ya kuifunga Rwanda mabao 3-2 katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Njeru, mjini Jinja, Uganda

KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo)


Post a Comment

0 Comments