Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.SEPT.30,2016 SAA 12:26 JIONI
Wachezaji
wa Timu ya Taifa ya Vijana wenye umri wa chini ya miaka 17 - Serengeti Boys,
wakijifua kwenye Uwanja wa Seminari Kuu ya Kumbukumbu
ya Kardinali Emile
Biayenda wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Brazzaville, Jamhuri ya Congo.
Serengeti Boys inajiandaa kucheza na vijana wa Congo, Jumapili ya Oktoba 2,
2016 kwenye dimba la Alphonse Massamba-Débat ulioko kwenye Makutano ya Barabara
za Nkolo na Boko, hapa jijini Brazzaville.
ANGALIA PICHA
0 Comments