Ticker

6/recent/ticker-posts

SIMBA SC NA MO DEWJI WAMEFIKIA MAKUBALIANO,SOMA HAPA TAARIFA RASMI

  Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.AUG 17,2016 SAA 07:14 MCHANA
Viongozi wa simba na Serikali wakiwa wa na  Mohammed Dewji siku ya Simba Day, Picha na dewjiblog.com
Katika Taarifa ambayo imetolewa na Simba,kuhusu mazungumzo yaliyofanywa na kamati ya utendaji ya Simba na Mohammed Dewji
MO imeeleza kuwa kamati ya utendaji ya Simba kwa pamoja na MO wamefikia makubaliano ya kufanya mabadiliko ya uendeshwaji wa klabu kuwa wa hisa.

Wanachama na mashabiki wa Simba SC wamekuwa na Shauku ya kuona klabu yao ikifanya mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji ambao utamwezesha Mkurugenzi na Rais wa Makampuni ya Mohammed Enterprises (MeTL Group), Mohammed Dewji MO kufanya uwekezaji katika klabu hiyo kongwe nchini.
SOMA ZAIDI



KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo)

 

Post a Comment

0 Comments