Ticker

6/recent/ticker-posts

AUDIO:SIKILIZA MIKAKATI YA USAJILI YA KLABU YA AZAM FC

  Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.Jun 14,2016 SAA 02:00 USIKU
Wachezaji wa azam Fc wakishangilia bao (picha na Tanzaniatoday.co.tz)
Waoka mikate Azam FC wametangaza msimami wao wa kuanza harakati za usajili wa wachezaji kwa ajili ya msimu mpya wa ligi
kuu ya soka Tanzania bara ambao umepangwa kuanza August mwaka huu.

Afisa habari wa Azam FC Jaffary Iddy Maganga amesema harakati za usajili wanatarajia kuzifanya mara tu, makocha wao kutoka nchini Hispania watakaporejea kutoka mapumzikoni huko nchini Hispania.

Hata hivyo Jaffary amesema usajili wao kwa ajili ya msimu ujao wa ligi utazingatia sana wachezaji waliokuzwa katika kituo cha vijana cha Azam Complex kilichopo Chamazi jijini Dar es salaam.

SIKILIZA HAPA
KKWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) .

Post a Comment

0 Comments