Siku chache mara baada ya kuchaguliwa kuingia katika kamati ya utendaji ya klabu ya Young Africans (Jumapili Jun
12,016) ,Mwamuzi mstaafu wa ligi kuu ya soka Tanzania bara, Hashim Mudhihir Abdallah,amefunguka katika mahojiano maalumu na Jamii na Michezo ,akielezea sababu za wanachama wa klabu hiyo kumuamini kwa kumpigia kura na hatimaye kumpa nafasi hiyo.
12,016) ,Mwamuzi mstaafu wa ligi kuu ya soka Tanzania bara, Hashim Mudhihir Abdallah,amefunguka katika mahojiano maalumu na Jamii na Michezo ,akielezea sababu za wanachama wa klabu hiyo kumuamini kwa kumpigia kura na hatimaye kumpa nafasi hiyo.
| Mpaka dakika inayoonekana kwenye ubao wa matokeo, mabao yalikuwa kama inavyosomeka kwenye ubao huo. |
![]() |
| Hashim Mudhihir Abdallah wa kwanza kushoto) akiwa na Wajumbe wengine wa kamati ya utendaji Yanga waliochaguliwa |
Hashim ambaye amechaguliwa kwa kura 727,amesema kwa sasa anahisi ana deni kubwa la kuitumikia klabu ya Yanga,na ameahidi kupambana ili aweze kuleta furaha katika klabu hiyo.
MSIKILIZE HAPA


0 Comments