Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.SEPT.8,2015 SAA 02:00 USIKU
SIKILIZA HAPO CHINI
KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) .
Miongoni mwa Taarifa Utakazosikia ni pamoja na Shirikisho la soka nchini TFF, limethibitisha kuwa tayari na mshike mshike wa
ligi kuu ya soka tanznaia bara ambayo imepangwa kuanza mwishoni mwa juma hili.
ligi kuu ya soka tanznaia bara ambayo imepangwa kuanza mwishoni mwa juma hili.
2.Taarifa nyingine ni Kuelekea katika michezo ya ufunguzi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara msimu wa 2015-16, klabu ya Azam FC imeendelea kujiimarisha vyema katika kambi yake ya maandalizi baada ya wachezaji waliokua wanawasubiri kwa muda mrefu kuanza kuwasili.
3.Pia Wadau wa Michezo Kanal Idd Kipingu pamoja na mchezaji wa Zamani Ali Mayai Tembele wamezungumza juu ya Mchezo uliopiengwa siku ya Jumamosi katika ya Tanzania na Nigeria.
KIMATAIFA
SIKILIZA HAPO CHINI

0 Comments