Ticker

6/recent/ticker-posts

PICHA/KIKAPU: ANGALIA WAKONGWE WA KIKAPU TANZANIA NA KENYA WAKIPAMBANA

  Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.AUG.17,2015 SAA 09:48 ALASIRI


Wachezaji wa zamani wa mpira wa kikapu waliandaa Bonanza weekend hii lililofanyika katika uwanja wa kikapu
maeneo ya Gymkhana jijini Dar es salaaam.




Bonanza lilikuwa na mechi 6, Dar city walifungwa mechi zote tatu walizo cheza na Old skul kutoka Nairobi,ambapo Old Skul walishinda mechi mbili na kufanikiwa kufika fainali na wakakutana na Old Guard ya Dar es salaam,Old Guard ya Dar es salaam waliwafunga Old Skul ya Nairobi kwa Point 24 kwa 18


ANGALIA PICHA ZAIDI






























KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo) 

Post a Comment

0 Comments