Jerry murro ambaye ni msemaji wa klabu ya Yanga ametaja sababu ya kuahilishwa kwa sherehe hizo ikiwemo sababu ya mwezi mtukufu wa ramadhani.
Sababu nyingine ambayo ameitaja Jerry Murro ni baadhi ya wachezaji wao wa yanga kutokuwepo nchini kwani wako katika kikosi cha timu ya Taifa nchini Uganda.
Pia Jerry Murro amesema sababu nyingine ni kutokupatikana kwa baadhi ya viongozi wa nchi kama raisi Jakaya kikwete na wengine walioku katika mchakato wa uchaguzi.
KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo)


0 Comments