Ticker

6/recent/ticker-posts

PICHA:WACHEZAJI WA TAIFA STARS WARUSHIWA MAWE NA MADEREVA BODABODA

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.Jun 17,2015 SAA 12:07 JIONI

Hii imetokana baada ya dereva mmoja wa bodaboda maeneo ya kamata kurusha jiwe ndani ya basi la timu ya
taifa, na ndipo wachezaji  hao kushuka katika Gari na kuanza kumpiga lakini madeva bodaboda wenzake hawakukubali ndipo zikaanza ngumi


KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo)

Post a Comment

0 Comments