Ticker

6/recent/ticker-posts

AUDIO:SIKILIZA ALICHOKISEMA KOCHA MSAIDIZI WA STARS HEMED MOROCCO BAADA YA KUINGIA KATIKA BENCHI LA UFUNDI

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.Jun 25,2015 SAA 01:32 USIKU
Kocha Mkwasa (kushoto) na msaidizi wake Hemed Morocco 
Kocha msaidizi wa taifa Stars Hemedi Morocco amewataka watanzania kuwaamini na kulipa ushirikiano benchi jipya la
ufundi la timu ya taifa ya Tanzania,ili kuweza kufanikiwa .

Bechi jipya la Timu ya Taifa ya Tanzania likiongozwa na kocha mkuu Chalse Boniface Mkwasa lilitambulishwa siku ya jana mara baada ya kuvunjwa benchi la ufundi la zamani lililokuwa likiongozwa na kocha Mart Nooij kutokana na Matokeo mabaya ya timu ya Taifa ya Tanzania.

Hemedi Morocco pia amebanisha kukaa na Chalse Boniface Mkwasa kwa ajili ya kutafuta mfumo watakao utumia katika kikosi cha Stars.

MSIKILIZE  HEMED MOROCCO AKIZUNGUMZA NA JAMII NA MICHEZO
 KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo)

Post a Comment

0 Comments