Ticker

6/recent/ticker-posts

VIDEO/PICHA:TAZAMA ALICHOKIFANYA DANI ALVES BAADA YA MASHABIKI KUMTUPIA NDIZI

Mhariri:Herman kihwili,IMEWEKWA.APR. 28,2014 SAA 09:22 ALFAJIRI
Racist taunt: A banana is thrown on the pitch as Dani Alves prepares to take a corner
Dani Alves amejibu majaribio ya mashabiki kwa kuwadhihaki mashabiki  hao katika mchezo ambao  Barcelona waliibuka
na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Villarreal ... kwa kufurahia ndizi iliyorushwa na mashabiki hao kwa kuitafuna katika  uwanja wa Estadio El Madrigal.

Ndizi hiyo alitupwa juu ya uwanja wakati mlinzi huyo kutoka wa Brazil akiwa tayari kuchonga kona. 

Lakini, badala ya kuruhusiwa kupiga kona, Alves alitulia kwa sekunde kadhaa na kuchukua tunda hilo la bure,kisha kukukata funda moja kwa haraka na kula kabla ya kuendelea na mchezo - (na inasemekana baada ya kula ndizi (eti) alicheza katika kiwango cha juu kana kwamba ameongezeka nishati).
Racist taunt: A banana is thrown on the pitch as Dani Alves prepares to take a corner
Feeling peckish: The Brazilian defender unpeels the offending fruit as the linesman waits
Potassium injections: Alves takes a substantial bite out of the banana before discarding the rest
Replenished: After his mid-match snack the Barcelona full-back continues with the game
Back to business: Alves takes the corner and Barcelona eventually come back to win the game 3-2
Alves mara nyingi amekuwa anakabiliwa na ubaguzi wa rangi na anaitwa ni mpambanaji wa ubaguzi wa rangi baada ya mchezo ambao waliopoteza mwezi Januari 2013, baada ya makundi ya mashabiki wa Real Madrid kumtukana kwa kulia kama tumbili wakati wa mechi. 
Banana skin: Neymar
Ngozi ya ndizi: Mbrazil mwenzake Neymar alionekana aliketa utani baada ya mchezo kwa kupost picha katika  Instagram yake huku akila ndizi, akiambatanisha na maneno 'Sisi sote ni nyani'. 

ANGALIA VIDEO


Villarreal 2 -  3 Barcelona
Pointed: Lionel Messi scored a typical match winning goal to move Barca ahead of rivals Real in the title race
NIlisema: Lionel Messi alifunga Bao la ushindi kwa Barca 
Katika mchezo huo wa jana Barcelona waliibuka na ushindi kibahati maana mabao yao mawili yalipatikana kwa njia ya wachezaji wa Villarreal kujifunga wenyewe.

Wakwanza kupata bao walikuwa ni Villareal kupitia kwa mchezaji wao Cani katika dakika ya 45,na bao la pili lilifungwa na Manuel Trigueros dakika 55.

Na mchezaji wa Villareal Gabriel Paulista akajifunga dakika ya 64 na kisha mwenzake Mateo Pablo Musacchio naye akajifunga  dakika ya 77.

Lionel Messi ndiye aliyepachika bao la ushindi kwa Barcelona dakika ya 83.

Kwa matokeo hayo sasa Barcelona wamefikisha alama 84 nyuma ya alama 4 dhidi ya Atletico Madrid yenye alama 88 ambao wameibuka na ushindi wa bao 1 kwa o dhidi ya Valencia katika mchezo wao, na nafasi ya tatu ameshikilia Real Madrid kwa alama 82 .

Post a Comment

0 Comments