Ticker

6/recent/ticker-posts

AUDIO:HIKI NDICHO WATAKACHOKIFANYA AZAM FC BAADA YA KUTOLEWA KOMBE LA SHIRIKISHO

  Mhariri:Herman Kihwili,IMEWEKWA FEB. 18,2014 SAA 04:02 USIKU
Picha na mtandao wa Azam Fc
 
Mara baada ya kurejea jijini Dar es salaam jana usiku,kikosi cha Azam Fc kinatarajia kuweka kambi kesho(19 Feb.2014) ili kujiandaa na mechi yao ya Ligi kuu Tanzania bara dhidi ya Ashanti United.
Akiiambia Jamii na Michezo kuhusu michuano ya kombe la shirikisho ambayo wametolewa,msemaji wa Azam Fc Jafary Iddy amesema kuwa mpaka sasa hawajabaini mapungufu yoyote katika timu yao.
 
BOFYA PLAY KUSIKILIZA ZAIDI

Post a Comment

0 Comments