![]() |
| Wajina wa Suarez:kinda anaye chipukia Denis Suárez Fernández amejiunga na Timu B ya Barselona |
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka19, ambaye aliisaidia nchi yake ya uhispania kufikia katika hatua ya robo
fainali ya FIFA ya kumbe la dunia Chini-20 katika majira ya joto,ataungana
na timu B ya Barcelona.
![]() |
| nyota wa baadaye |
Suarez amecheza mechi mbili na timu City kipindi akiwa nchini Uingereza katika Kombe la Ligi.


0 Comments