Mchezaji wa Bayern Munich Luiz Gustavo,amefanikiwa kumwaga wino katika klabu ya Vfl Wolfsburg ya nchini Ujerumani kwa mkataba wa miaka tano.
Gustavo raia wa Brazil mwenye umri wa miaka 26 alikuwa akingonga vichwa vya habari kuwa yuko mbioni kujiunga na Arsena,lakini ndoto hizo za arsenal zimezimwa rasmi baada ya kutia
saini katika klabu ya Wolfsburg kwa Mkataba ambao unaaminika ni kati ya euro milioni 15 na 20.
saini katika klabu ya Wolfsburg kwa Mkataba ambao unaaminika ni kati ya euro milioni 15 na 20.
![]() |
| Pigo:Arsene Wenger (kulia)mpaka sasa amemsaini mchezaji mmoja tu katika majira haya ya joto |
wapya waliofika:Mario Gotze(kushoto)na Thiago Alcantara (kulia) wachezaji waliochaguliwa na Pep Guardiola.
Kufuatia
kuwasili kwa Thiago Alcantara na Mario Gotze katika
timu ya Bayern majira haya ya joto,umuhimu na nafasi Gustavo imeonekana kupungua msimu huu kwa kiasi kikubwa na Wolfsburg wakawasilisha ofa zao wiki chache zilizopita.
timu ya Bayern majira haya ya joto,umuhimu na nafasi Gustavo imeonekana kupungua msimu huu kwa kiasi kikubwa na Wolfsburg wakawasilisha ofa zao wiki chache zilizopita.
![]() |
Taifa kwanza: Luiz Gustavo (kulia) alicheza katika mechiya taifa lake la Brazil mapema wiki hii kabla ya kujiunga na Wolfsburg
|




0 Comments