Chelsea walikuwa na furahia baada ya kumkaribisha Jose Mourinho darajani kwa ushindi,na hii ni baada ya kuwachapa Hull City mabao mawili kwa mbwelele.( 2-0).
The Blues wameanza msimu mpya kwa raha na shukrani za pekee za mabao ziende kwa Oscar katika dakika ya 13 ya kipindi cha kwanza na Frank Lampard katika dakika ya 25,yalitosha kabisa kuwakatisha tamaa mapema Hll city.
 |
| Raha sana;Oscar akishangilia bao la kwanza na Torres |
Hiyo
ilikuwa ni baada ya Lampard kukosa penalti mapema katika dakika ya 6 kwa timu hiyo iliyo panda daraja ,
ambao walikuwa na
wasiwasi mkubwa baada ya kuingia katika ligi kuu England.
 |
| Dooo!:Lampard alikosa penalti lakini baadaye aliwanyanyua mashabiki wa Chelsea. |
 |
| Haikua bahati |
 |
| Amerudi:Jose Mourinho akiwabusu mashabiki baada ya kuingia uwanjani,kuashiria kurudi kwake |
 |
| Lampard aliposhinda bao la pili |
 |
| makocha |
kikosiChelsea: Cech, Ivanovic,
Cahill, Terry, Cole, Lampard, Ramires, De Bruyne (Schurrle 67), Oscar
(van Ginkel 85), Hazard, Torres (Lukaku 75)
Akiba wasio tumika: Essien, Mata, Ba, Schwarzer
Magoli: Oscar 13, Lampard 25
KIKOSI Hull City:
McGregor, Elmohamady, Chester, Davies, Figueroa, Brady, Meyler
(Huddlestone 59), Koren, Sagbo, Graham (Livermore 59), Aluko (Boyd 79)
Akiba wasio tumika : Rosenior, Bruce, McShane, Harper
waliohudhulia: 41,374
Refa: Jon Moss
 |
| Shabiki :juu na chini |
0 Comments