Na.John
Peter, IMEWEKWA AGOSTI 18,2013 SAA 9:00 ALASIRI
Kutokana na
hali udi ya kiwango cha tenesi hapa nchini,taasisi mbali mbali zimeamua
kuanzisha mpanga wa kukuza vipaji vya mchezo wa Tenesi,ambapo hapo jana
umefanyika katika viwanja vya tenesi kijitonyama jijini Dar es salaam,chini ya
makocha mbali mbali wakiongozwa na Salum Mvita.
Mpango huo
ambao unajulikana kwa jina la TENNIS for AFRICA,pia unatambulika na paralimpiki
kwa kababu pia una husisha wachezaji wa tenesi wenye ulemavu.
Katika mpango
huo,vijana mbali mbali wa lika mbalimbali wamejitokeza kuhudhulia mashindano
hayo ambayo yamekuwa
kivutio kikubwa kwa wadau ambao walijitokeza katika viwanja hivyo.
kivutio kikubwa kwa wadau ambao walijitokeza katika viwanja hivyo.
Lakini
katika mpango huo,baadhi ya wadau wametoa wito kwa wadhamini kujitokezakudhamini
watoto ili kuinua vipaji hata baadae kuwa na timu bora ya Taifa.

0 Comments