Na.Herman Kihwili,IMEWEKWA AGOSTI 26,2013 SAA 09:00 alfajili
Kama ilivyo ada Blog ya Jamii na Michezo kukupa habali za ukweli na zilizotoka katika mda muafaka au siku hizi wanaziita habari zilizo vunjika au kwa lugha ya kimombo wanaziita Breaking News,sasa tunawaletea hii,baada ya siku ya jana muda kama huu blog hii kuandika,"inatarajiwa ndani ya maasa 24 yajayo mchezaji huyo,hatma yake itakuwa imejulikana".
Kama ilivyo ada Blog ya Jamii na Michezo kukupa habali za ukweli na zilizotoka katika mda muafaka au siku hizi wanaziita habari zilizo vunjika au kwa lugha ya kimombo wanaziita Breaking News,sasa tunawaletea hii,baada ya siku ya jana muda kama huu blog hii kuandika,"inatarajiwa ndani ya maasa 24 yajayo mchezaji huyo,hatma yake itakuwa imejulikana".
![]() |
Mchezaji wa Ghali sana duniani: Daniel Levy hatimaye amekubaliana na Real Madrid
|
Hatimaye hayawi hayawi sasa yamekuwa,kwani sasa Gareth
Bale yuko huru kujiunga na Real Madrid baada ya kukubaliana na
Tottenham kutoa mkwanja uliovunja rekodi ya dunia wa £ 86million,na makubaliano hayo yamefanyika siku ya Jumapili usiku.
Tottenham kutoa mkwanja uliovunja rekodi ya dunia wa £ 86million,na makubaliano hayo yamefanyika siku ya Jumapili usiku.
Mwenyekiti wa Tottenham Daniel Levy amesaini makubaliano ya kuachana na mchezaji huyo ambaye ni mchezaji bora wa mwaka wa PFA kufuatia mazungumzo na wakurugenzi wa jopo la viungozi ndani ya White Hart
Lane.
![]() |
Maisha ndani ya Hispania: Bale alicheza mechi moja tu katika michezo ya kujiandaa na kabla ya msimu na timu yake ya Spurs
|
Uhamisho
bale kwenda Real,unapindua rekodi ya dunia ya £80m ambayo ililipwa kwa Manchester United,kwa ajili ya Cristiano Ronaldo mnamo mwaka 2009.
Levy alipomaliza mazungumzo na Madrid pamoja na wakala wa Bale,Jonathan Barnett
na mkurugenza wa Tottenham wa bechi la ufundi Franco Baldini alienda kuangalia
klabu yake ambayo ilishinda 1-0 dhidi ya Swansea City baada ya kukubaliana na
mpango huo.
Na inaeleweka kwamba uamuzi wa kusafiri kwenda Madrid kukutana na Perez - ambaye anajua hali harisi,ni mbinu tu iliyoundwa ya kupata bei ya juu.
![]() |
| Anakutana na hawa:Bale anajiunga na timu ya Real Madrid na anatarajiwa kutambulishwa siku ya jumanne |
lakini pia unakuwa uhamisho mkubwa na uliochukuwa muda mrefu na wa kihistoria kuwahi kutokea katika mchezo,kufuatia mazungumzo ndani ya majira haya ya joto.



0 Comments