Ticker

6/recent/ticker-posts

Kocha wa Manchester City Pep Guardiola ashtakiwa kwa maswala ya Kisiasa

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.FEB.23.2018 SAA 02:35 USIKU

Guardiola ashtakiwa na  FA baada ya kuvaa ribbon ya njano inayoonekana hapo juu
Meneja wa Manchester City Pep Guardiola ameshtakiwa kwa kuvunja kanuni za FA na kanuni za matangazo.


Kucha huyo Raia wa Hispania  "alivaa ujumbe wa kisiasa, hasa Ribbon ya njano," akilisema Chama cha Soka.

Guardiola alisema mnamo Novemba amevaa Ribbon ili kusaidia wanasiasa waliofungwa huko Catalonia, ambako alizaliwa.

Ana hadi saa 18:00 GMT siku ya Jumatatu 5 Machi 2018 kujibu mashtaka hayo.

FA imesema Guardiola juu ya suala hilo tayari alipewa onyo tangu katikati ya Desemba na rasmi mashtaka yamepatikana .

Kesi hiyo ilitokea wakati alipokuwa amevaa katika mchezo wa Kombe la FA dhidi ya Wigan .

KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo),na instagram- kihwiliupdates

Post a Comment

0 Comments