Ticker

6/recent/ticker-posts

BREAKING NEWS:Zari the bosslady -nimeachana na Diamond,haitawezekana tena,hii siyo kiki (VIDEO)

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.FEB.23.2018 SAA 03:56 USIKU

Hatimaye zari the bosslady amethibitisha kwa mara ya kwaza kuwa ameachana na mwanamuziki Diamond,



zari amezungumza hayo katika kipidndi cha Dira ya Dunia ya BBC  na kusema  kuwa kurudiana na Diamond haitawezekana tena,na kusisitiza kuwa hii siyo "kiki" 

VIDEO
.....

KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo),na instagram- kihwiliupdates

Post a Comment

0 Comments