Ticker

6/recent/ticker-posts

AUDIO:MUSSA HASSAN MGOSI AELEZA MAJUKUMU YAKE YA KUREJESHA HESHIMA SIMBA SC

Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.AUG 18,2016 SAA 01:25 JIONI
Meneja mpya wa kikosi cha Simba Mussa Hassan Mgosi ameweka wazi mustakabali wa kazi zake ndani ya klabu hiyo ambayo
ameitumikia kwa vipindi viwili tofauti kabl ya kuamua kustaafu mwishoni mwa juma lililopita.

Mgosi ambaye alitimkia Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika klabu ya Daren Motema Pembe na kasha kurejea nchini na kuzitumikia JKT Ruvu kabla ya kwenda Mtibwa Sugar na hatimae kurejea Msimbazi, amesema dhamira yake kubwa ni kuhakikisha heshima wa Simba inarejea kwa kuwahamasisha wachezaji waliosajiliwa kwa ajili ya msimu wa 2016/17.
Amesema kiu yake kubwa ni kutaka kuona heshima na mafanikio ya Simba anaruzi kama ilivyokua miaka ya nyuma kabl ya kuanza kusota katika nafasi ya tatu hadi ya nne katika msimamo wa ligi kuu tangu mwaka 2011.
 
SIKILIZA HAPA


KWA TAARIFA,BREAKING NEWS,RATIBA PAMOJA NA MATOKEO YA MECHI MBALIMBALI,LIKE PAGE YA FACEBOOK  BONYEZA HAPA (Jamii na Michezo)

Post a Comment

0 Comments