Mhariri:Herman Kihwili. IMEWEKWA.AUG 5,2016 SAA 12:00 JIONI
Mkuu wa idara na mawasiliano wa klabu bingwa Tanzania bara,
jerry Muro ameibuka na kudai kuendelea na kazi yake kama kawaida licha
ya
shirikisho la soka nchini TFF kutangaza kumfungia kwa kipindi cha mwaka mmoja.
Muro ambaye alikua kimya kwa majuma kadhaa na kudhaniwa
huenda alikua ameanza kutii adhabu aliyotolewa na kamati ya maadili ya TFF,
amesema ukimya wake hakua na maana hiyo.
Amesema sipo sababu kadhaa ambazo zinampa nafasi ya kuendelea
na jukumu la usemaji kutokana na mwajiri wake kutopokea baadhi ya vielelezo
kutoka TFF.
MSIKILIZE JERRY MURO

0 Comments