Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limepitisha majina ya wachezaji wanne wapya wa Yanga, kipa Benno David
Kakolanya, Hassan Hamisi Ramadhan ‘Kessy’, Vincent Andrew Chikupe na Juma Hassan Mahadhi kucheza Kombe la Shirikisho
Ofsa habari wa TFF,Alfred Lucas amesema kwamba shirikisho hilo limepokea majibu kutoka CAF,likiwaruhusu wachezaji hao kuanza kuitumikia timu ya Yanga katika michuano hiyo ya pili kwa ukubwa kwa ngazi ya vilabu barani Africa
SIKILIZA HAPA






0 Comments