Siku ya Jana Jumapili Taifa Stars, ilikuwa na mchezo wa kirafiki wa Kimataifa uliofanyika Uwanja wa Moi Kasarani,
Nairobi Kenya. timu hizo zilitosahana nguvu kwa kutoka sara ya 1-1.
| Kikosi cha kwanza cha timu ya Soka ya Tanzania -Taifa Stars kilichoanza dhidi ya Harambee Stars ya Kenya Jumapili. |
Winga wa Taifa Stars, Shiza Ramadhani akichuana na beki Joakins Atudo wa Harambee Stars katika mchezo huo. |
0 Comments